Wednesday, August 27

Moshiii

  Ilitupasa kurejea pale pa jana baada ya lile zoezi la kushare picha kwenye social media zetu na Rafiq ambaye alikua anatujoin kuomba kupata kutaste menu tulizopata jana.
   Baada ya kufika sasa menu tulizopishana nayo ni pamoja na hizi..., kuna sizzler pork na beef.
Ugali ulihusika katika kusindikizia menu hii
                                              
Na hapo sahani zote kwa pamoja                                              
Soda ndizo ziliushushia mlo wetu wa mchana.
   Kesho tunatoroka Moshi kidogo ila tutarejea jioni. Tufwate kujua Arachuga twalani

No comments:

Post a Comment