Thursday, August 28

Mchemsho wa Arachuga

Leo tumetoka Moshi kidoogo na kwenda kutembelea pande za Arusha a.k.a Arachuga kuongea na Rafiqs mawili matatu.
   Mchana tukapata kupita Arusha park na kuagiza mchemsho kama uonekanavyo kwa picha
                           
Pia tukaagiza ugali, mchicha pamoja na mbuzi choma iliagizwa na kushushiwa na maji ya kunywa.                           
 
  Iwapo utapita pande za Arachuga fanya kama kupita pande hizi wana mengi ya kukupatia wewe Rafiq.
Twarejea zetu Moshi, endelea kuwa nasi kujua mengu ya kina Mangi

No comments:

Post a Comment