Friday, August 29

Kilimanjaro

Ni siku nyingine tena bado twaendelea kuwajuza yalojiri pande za Moshi baada ya kurejea kutoka Arusha.
  Kama ilivyo ada tukapita pale Meku's Bistro na Rafiq aliomba  pepper steak pamoja na salad na zege
               
Na Rafiq mwingine yeye alipenda kuku makange na viepe kama ionekanavyo
Utamu wa kuijua kahawa ya Kilimanjaro ni kupitia cappuccino, hivyo nikaagiza kwa kuanzia                   
  Kisha  nikaomba pepper steak na mashed potatoes ambapo mpishi ni bwana Maulo
   
    Bado tupo hapa na tutaendelea maujuzi ya  bwana Maulo wa Meku's Bistro iliyopo Moshi.

No comments:

Post a Comment