Tuesday, August 26

Moshi

  Ni Jumanne tulivu tukiwa katika mihangaiko ya kazi hapa na pale ndipo mmoja wetu akatushtua kwamba muda wa kula umewadia ila alipendekeza pia leo iwe siku ya kula nyama nyingi maana tumekuja pajulikanapo kwa upishi mzuri wa nyama.
  Mwenyeji wetu bwana Joe na Kevoo wakasema sawa tuekekee pahali pazuri kwa ajili ya ulaji wa nyama na ndipo Uhuru hostel ikateuliwa na tukafunga safari kuelekea pande hizo.
  Kufika na baada ya kutoa oda meza yetu ilitawaliwa na sahani zifuatazo hapo chini.
  Kulikua na nyama ya ng'ombe

 
 Nyama ya kondoo

 
Pamoja na nyama ya nguruwe
                                     

 Na baada ya kushiba vyema, kutokana na ukali wa jua mama Menutime alijipooza na iceceam kama ionekanavyo hapo chini.
Baada ya mlo, kama ilivyoada kupitia socia media accounts zetu tukaonesha yalojiri. Waweza tufwata kwa twitter ni @menutimetz kwa instagram ni @menutimes na facebook page ni www.facebook/menutime.com kwa habari za haraka zaidi.
  Baada ya kushare na Rafiqs mbalimbali mengi yaliibuka, kujua ni yapi tembelea blog kesho.
   Kutoka Uhuru hostel Ljm wa MT naarifu.

No comments:

Post a Comment