Sunday, April 24

Menu ya Pasaka

Chakula nilichokula mimi na familia yangu siku ya Pasaka. Wapishi walikua ni dada na wifi yangu. 
    
 
Yaliyomo: Viazi kukaanga, Kipande cha Kuku, vipande vya mdudu, wali wa nazi, rosti ya kuku, mchicha na chapati. Binafsi nlishushia na Fanta passion bariiidi.

No comments:

Post a Comment