Monday, August 4

Kilimanjaro, Moshi

Asubuhi tulipoamka tukajiandaa na yaliyotuleta Moshi, tukasogea meza kuu kufungua kinywa, na hivi ndio tulivyoanza siku yetu. Karibu
  Kuna kikombe cha kahawa, sausages mbili pamoja na pancakes zenye kumwagiwa syrup


   Na baada ya kufungua kinywa, tukaanza safari ya kwenda uwanja wa ndege tayari kwa safari ya kurejea Dar, kabla hatujaelekea Rock city, tunaongelea Mwanza.

No comments:

Post a Comment