Friday, July 5

Lunch ya Ijumaa TGIF

   Kutoka kitaani, tumekula cha mchana na bibi wa Menu Time. Eneo la mjini, mgahawa ujulikanao kwa jina la City Garden.... Karibu
   Kuna biriani ya kuku, kuna supu ya nyanya na ndizi bukoba, chapati maji na mchicha.
    Tulishushia na maji baridi na juisi ya maembe.

No comments:

Post a Comment