Wednesday, April 27

Mlo wa Usiku


Leo niliingia jikoni nkisaidiana na mama mzazi kutayarisha mlo wa usiku, na hiyo ndo menyu tuliyopika.
 
 
Yaliyomo: Wali nazi, Mchicha wenye karanga, kipande cha samaki cha kukaanga na salad yenye parachichi, nyanya, chumvi, pilipili na ndimu. Binafsi nlishushia na juisi. 

No comments:

Post a Comment