Wednesday, July 24

Mchana umekaaje kwako??

  Mchana huu wa leo umepanga kupata menu gani? unaifikiria au tayari jibu unalo? Swali twakuuliza unaipata wapi? aina gani ya menu? utakua na kampani gani? utashushia na kinywaji gani?
   Sisi tunakumbushia menu tuliyopata tulipokua Sea Cliff Hotel
   Karibu kutujuza menu yako ya mchana huu, unapanga kula wapi na ni nini wataka kula.

No comments:

Post a Comment