Friday, July 26

Kifungua kinywa cha Ijumaa

   Wikiendi si ndo hii, tunaanzaje siku??? Sisi tumeanza hivi. Chai ya maziwa kidogo, vitumbua viwili na nyama nyama kwa pembeni...


   Wewe umeanzaje? tujuze kupitia menutimes@gmail.com

No comments:

Post a Comment