Tuesday, July 30

Iftar Iftar na Airtel pale Serena Ijumaa ya 26.07.2013

  Ijumaa iliyopita tulialikwa pande za Serena mjini palee.... kwenda kufuturu na Rafiqs wetu kina Airtel. Bila ajiza tulifanikiwa kufika pale na kujumuika nao. Kabla ya kuanza kujumuika tulifanya yetu yaliyotupeleka pale, ili tuweze kuwahabarisha yaliyojiri.
    Kila kitu ni mipango hata kwenye upande wa menu, lazima mipango iwekwe, na hivi ndivyo vyombo vilivyopangwa... vibakuli kwa ajili ya uji au mtori


 Kisha sahani zilikua tayari kwa matumizi

  Madishi yenye mambo yenyewe ambayo yalitukutanisha siku hiyo ya Ijumaa...

..... na vichungu vilivyobebeshwa uji pamoja na mtori ndo hivyooo

Baada ya swala ya Magharib tulijitayarisha na tende na maji kidogo

  Na kianzio ndio hiko, pamoja na chai

Kwa ukaribu...... mtori huo

  na uji wenye iliki na viungo vingine vingi ndo huoo....

    Kesho tutarejea kuwajuza zaidi kuhusiana na Iftar iliyoandaliwa na Kampuni ya simu ya Airtel pande za serena Hotel iliyopo mjini.
Share nasi Iftar uliyohudhuria nasi tutashare na Rafiqs wa Menu time hapa hapa menutimes blog.

No comments:

Post a Comment