Saturday, July 28

Menyu kutoka Entebe - Uganda

   Menu Time tupo Dar iliyo salama, Tanzania. Lakiniiii tuna marafiq sehemu mbalimbali yaani kila kona ya dunia. Na marafiq hawa hupenda kushare nasi vitu vitamu ambavyo wanakula.
   Kutoka Entebe Uganda, Mashariki ya Afrika tumeletewa  picha hii na Rafiq yetu, ambaye wazazi wake wamempa jina la Baraka Ntanga.
   Ni samaki aina ya sato na vipande vya viazi a.k.a chipsi. Kalimau hako katakua ndo kikorombwezo chake Baraka.

   Tutumie na wewe kutoka popote ulipo picha ya menyu yako kupitia email address zetu menutimes@gmail.com au menutimetz@gmail.com nasi tutashare n a wengine. Karibuni sana!!
   Kutoka uganda, tunasema Webale sebo Baraka

No comments:

Post a Comment