Tuesday, June 26

Vitafunwa.

Binadamu ni wabunifu sana pale linapokuja swala la menu, wameweza kubuni sambusa za aina mbalimbali, hapa tunazo sambusa za nyama na huweza kuliwa wakati wowote, lakini mara nyingi watu huzipendelea asubuhi kama kitafunwa.
 Chapati pia ni zao la ubunifu wa binadamu katika harakati za kuandaa Menu.
 Mkate ni miongoni mwa vyakula vya kwanza kabisa kugundulika, na inasadikika kuwa ni miongoni mwa vyakula vilivodumu karne nyingi kuliko vyakula vingine.
 

No comments:

Post a Comment