Friday, June 22

The Safari Lager Nyama Choma Festival, Dar es salaam.

Dar es salaam tena, Ni Safari Lager Nyama Choma Festival Pale pale kwenye viwanja vya Posta, Kijitonyama. kwa kiingilio cha sh. 5000 tu kwa watu wazima na 3000 kwa Wanachuo. Kuanzia saa sita mchana mpaka saa tano usiku tarehe 30,June 2012 (Jumamosi).
 Kama ilivo ada Timu Ya Menu Time Tutakuwepo na piaaaaah... awamu hii na timu yetu tatakuletea salad ya ukweli pale pale uwanjani.. hii sio ya kukosaaaaa.

No comments:

Post a Comment