Sunday, May 1

Rafiqs, nasafiri kwenda Moshi. Naamini kuna vyakula mbalimbali ntaviona, ntavionja na kushare nanyi. Karibuni sana Moshi.
Kuna msemo, "Mcheza kwao hutunzwa". Naenda kutunzwa kwetu....... Aikambe/ Aikamai

2 comments: