Saturday, July 20

Mchana wa leo twala nini??

   Siku ya leo tuna swali kwako, je wala nini mchana huu? wikiendi hii?? 
  Sisi tunajirejesha nyuma siku chache tulipotembelea mitaa ya Masaki, tukasimama kwenye Hotel ya Sea Cliff na haswa restaurant ya Karambezi ambapo tulikutana na menu hii hapa.

   Moja ya menu ambayo naipenda sana ni tambi na prawns na jibini kadhaa kidhungu tunaongelea macaroni and prawns and lots of cheese.
   Ukikipenda chakula hiki, tafadhali wapitie hawa Rafiqs na jifurahishe nafsi yako. Kutoka kwetu tunawatakia kila la kheri kwenye wikiendi hii na zijazo. Stay Blessed!!

2 comments: