Wednesday, June 25

Ndizi nyama

 Baada ya kutoka Kigambonino,bwana Abdallah wa Gunda ameshare nasi menu ya nyumbani ambapo alipikiwa na dada mmoja wa kichagga.
  Ilikua ni ndizi nyama na picha ya kwanza zikiwemo bado ndani ya hotpot

  Halafu hii ya pili ikiwa ndani ya sahani tayari kwa kuliwa.

     Karibu kushare nasi menu unazozipata popote pale, kupitia menutimes@gmail.com hata watsup kwa namba hii 0784 999 790.

No comments:

Post a Comment