Thursday, June 26

Menu ya kinyumbani

  Bado twapokea picha toka kwa Rafiqs, na kushare nanyi, na pia mapishi bado yako kutoka majumbani mwa watu, yaani hatupo kitaani.
  Kutoka kwa Rafiq ambaye hakutaka kujulikana ameshare nasi menu toka nyumbani.


  Hapo juu kuna wali, maharagwe, mboga za majani na kachumbari. Pembeni kuna kikorombwezo cha pilipili.
Karibuni kushare nasi.

No comments:

Post a Comment