Tuesday, May 27

Mchana twaupitishaje????

    Mchana wetu tumeanza taratiiibu kwa kula menu ambayo hatutashiba sana. Tupo nyumbani hapa.
    So tumeanza na mtori


 
     Kisha tukapata salad.
                            
 
Tujuze wewe umeupitishaje wa kwako? Na wapi upo?

No comments:

Post a Comment