Wednesday, May 29

Ugali mchana wa leo

Mchana wa leo Jumatano hii, ulitukuta pande za Kinondoni kwenye sehmu ijulikanayo kama Filigisini. Hapo ni maarufu kwa mapiko ya firigisi, na hapo chini ni moja ya mmsosi uliopatikana hapo. Ni firigisi rosti yenye vitunguu vingi na ugali.

    Kwa karibu zaidi.
   Kesho tutakujuza nini cha mchana

No comments:

Post a Comment