Thursday, May 30

Firigisi na ndizi ndo menu ya mchana

   Mchana wa leo tumerudi pale pale Firigisini, maana mlo wa jana ulituvutia. Ila leo tumebadilisha badala ya ugali tumechukua ndizi.

    Ilikua tamu sana na huo ndio mlo wetu kwa siku ya leo, mchana wa leo
   Karibu kushare nasi mlo wako wa leo

No comments:

Post a Comment