Friday, May 31

Lunch ya Furahiii day hii.

   Ijumaa ya leo, ambapo ndio wikiendi inapoanza, tunapitisha mchana kwa menu hii ya pale pale Filigisini. 
    Ni chipsi na firigisi mix na maini. Karibu

        Kwa karibu kabisa !!!

       Ndo mlo wetu huu!!
    Hope mmekua na mchana mwema kwenu kama ilivyo kwetu. Karibu kushare nasi Rafiq.

No comments:

Post a Comment