Thursday, May 2

Supu ya mbuzi shughulini

   Jana kuna Rafiqs waliamua kuchinja mbuzi na kunywa supu pamoja na kula nyama. Sasa kukamilisha hilo lote, tukaalikwa marafiq katika mnuso huo, na kwasababu hatuna tabia ya kusema sana, ushahidi wa yalojiri ni huo hapo chini. Twashare nanyi picha ya supu ya mbuzi pamoja na ndizi za kuchemsha.
   Kwanza kuna sufuria la supu, kisha kuna kibakuli cha supu ya memba wa Menu Time aliyoifaidi jana. Asante sana Rafiq muendelee kutualika Menu Time.

No comments:

Post a Comment