Thursday, May 2

Kitaani na chipsi

  Moja ya menu inayopendwa sana naRafiqs wengi ni chipsi a.k.a kiepe. Sasa utaamua wataka kiepe iliyochanganywa na mayai a.k.a zege, au kavu ikisindikizwa na soseji, mishkaki au kuku au kingine kama maini, salad n.k
   Tujuze wewe unapenda chipsi za wapi?, maana wengi wanasema zile ze kitaani ni tamu zaidi kuliko za nyumbani.
   Katika pita pita zetu pande za Kinondoni huku Dar iliyo salama, tukakutana na zege yaani chipsi iliyochanganywa na mayai likisindikizwa na salad.... karibuni!!

2 comments: