Monday, April 15

Ugali toka London

   Kutoka kwa Rafiq aishie London, ajulikanaye kwa jina la Ney Fransis, ameshare nasi menu aliyoipika wiki iliyopita akiwa kwake.
   Tusiseme sana, bali tuona kwa picha hii hapo chini

   Kwenye sahani yake, kuna ugali, mchicha kidogo, kachumbari ya vitunguu na nyanya na kandimu kidogo, pia nyama iliyokaangwa akishushia na bilauri ya maji kwa pembeni.
   Kushare nasi ulichokula tafadhali tutumie kupitia menutimes@gmail.com au info@menutimetz.com. Karibuni sana na tunawatakia wiki njema yenye mafanikio Rafiqs

No comments:

Post a Comment