Sunday, July 8

Ndizi Nyama.

Ndizi nyama ni miongoni mwa vyakula asilia kabisa katika nchi ya Tanzania, Ndizi hupikwa kwa mitindo mbalimbali kama ambavyo MT imekuwa ikionesha mara kwa mara...http://menutime.blogspot.com/2012/01/matoke-ya-dada-megvicta.html
Mapishi mbalimbali ya matoke yatakuijia kadri tutakavoyapata.. furahia chakula na Menu Time.

No comments:

Post a Comment