Thursday, July 12

Breakfast.

Inashauriwa tunapoamka asubuhi tufungue kinywa kwa kitu chochote cha moto, Basi ile kuamka tu nikaamua nichemshe samaki (Sato) pamoja na Mayai ya kukaanga...
 wenyewe wanaiita Breakfast ya kukata na shoka.. ilikuwa tamu sana ijaribu sasa hivi......

No comments:

Post a Comment