Sunday, June 3

Ndizi na Mbuzi Choma.

  Ukiwa unaenda Tabata Segerea, kuna Kituo chaitwa Baracuda, na pale Baracuda kuna Bar moja maarufu sana yaitwa Baracuda Bar, basi katika pita pita zetu Timu ya Menu Time ikajikuta tu imefika mitaa ya hiyo na kujipatia mlo wa Ndizi mzuzu na nyama ya Mbuzi ya Kuchoma.
  Kama kawaida visindikizio kama kachumbari, pilipili, ndimu na chumvi haviwezi kukosekanika


 Baracuda Bar kwa kweli wanajitahidi kwa kiwango kikubwa tu. Tenga muda wako ukajipatie aina mbalimbali za chakula. Tufuate Menutime katika www.twitter.com/menutimetz na www.facebook.com/MenuTime

No comments:

Post a Comment