Tuesday, May 31

Mandhari

Kwa sasa tumetua uwanja wa ndege wa Mwanza, baada ya masaa kadhaa tutakua tunaelekea Kigoma. Picha hii inaonesha mandhari ya Uwanja wa Ndege, Safari yangu ndo imeanza, na siyo mbaya tukisafiri pamoja..... karibuni !!

No comments:

Post a Comment