Tuesday, May 31

Safari ya Kigoma

Niko Uwanja wa ndege wa Dar Es salaam nasubiri kwenda Kigoma. Ntakuwa huko kwa wiki nzima, naamini ntarejea najua kupika dagaa kwa style yao watu wa Kigoma. Ntashare nanyi mapishi hayo.
Naamini pia ntaweza kuona mapishi mengine mengi mazuri tu ndani ya Kigoma na kuwahabarisha maeneo yanapopatikana na namna ya kuyapika.
Karibuni Kigoma!!!!!!

No comments:

Post a Comment