Friday, June 10

Safari ya Kigoma

Namshukuru Mwenyezi Mungu nimerejea salama salimini toka safari ya Kigoma. Shukrani ziwafikie wenyeji wangu na marafiq wapya niliokutana nao kwa kunitembeza vyema mkoa wa Kigoma.

Ndege iliyotutoa Mwanza mpaka Kigoma ni hii hapa. Safari ilikua nzuri tu, japo unatahadharishwa kutokunywa sana au kula kabla ya safari maana hamna sehemu ya kujificha na kupiga simu wala kutuma sms ndani humo.



Tukiwa njiani, baadhi ya mandhari nilizoweza kupiga picha ni pamoja ni hizi:
Picha ya Hotel ya Malaika iliyoko Mwanza


Gurudumu la ndege yetu



Tunawasili kigoma


Usukani wa bwana Rubani ..

Karibuni Kigoma

No comments:

Post a Comment