Tuesday, June 10

Kifungua kinywa

  Asubuhi ya leo tumeamkia mitaa ya Temeke, ambapo tulisimama moja ya eneo la tukio tupate kufungua vinywa vyetu na kwenye ubao wa pale, paliandikwa mambo mengi ila binafsi nilivutiwa na supu ya mbuzi na baada ya kuiagiza, muonekano ulikua namna hii
    
   Kiukweli supu ilikua tamu na ya motooo, kwahiyo kama utamu unazidi vilee. Pembeni kama kawa kuna vikorombwezo visindikizavyo mpango mzima nawaongelea wakina ndimu, pilipili, chumvi na wenzie.
   Je, Jumanne hii mmefungua vipi kinywa Rafiqs??

No comments:

Post a Comment