Thursday, June 12

Bado tupo TCC Chang'ombe

   Bado tupo Chang'ombe na twaendelea kutaste menu zao. Suala la kurejea hapa na kuendelea na zoezi la kupata menu ni alama tosha kuwa wana menu nzuri na tamu na yafaa kufwata tena na tena ili kuenjoy mengineyo ambayo hatukuyapata juzi.
  Basi jana mlo tulioupata pale ni huu hapa

  Hapo kuna ugali, nyama ya ng'ombe iliyochanganywa wakati wa upikwaji na mchicha na pembeni kuan majani ya maboga. lakini mlo huu una jina lake spesheli ufikapo pale na kama wataka kuupata. wajulikana kama ..........
   Twawatakia kila la kheri katika Alhamisi hii njema.

No comments:

Post a Comment