Tulipokua kitaani leo, hii ndio menu tuliyokutana nayo. Kuna wali mweupe, ndizi zilizoungwa pamoja na nyama, pembeni kuna mboga za majani kukamilisha lishe bora ya mchana. Kishushio ilikua ni maji baridi pamoja na tunda la chungwa
Menu yote hiyo ilikost jumla ya shilingi elfu tatu tu za kitanzania,
No comments:
Post a Comment