Monday, May 20

Kutoka kwa Rafiq Jumatatu hii

   Mmoja wa Rafiq alikwenda pande za State kikazi lakini pia akaongeza siku za kuzunguka kidogo kusafisha macho. Kutokana na urafiq tuliokua nao, alitukumbuka mara kwa mara alipokua anapata menu pande hizi na hii ni moja ya ushuhuda w amenu aliyopata.
   Kuna kuku na viazi kwa chini, pembeni kuna salad ikisindikizwa na sauce pamoja na kipande cha ndimu. 

 
   Hakika rafiq aliinjoy menu za huko. Uzuri alipotua tu akatuarifu kuwa anaanza mazoezi fasta ili kurejesha mwili baada ya kujiachia pande hizo.
  Welcome back Mjinja!!

No comments:

Post a Comment