Sunday, April 28

Mwanza siku ya tatu!

    Bado tupo Villa park ila leo menu iko tofauti na samaki, hii ni kukuonesha kuwa ni wajuzi wa menu tofauti ukiacha ya samaki ambayo ndo kubwa.
     Kwenye sahani kuna chipsi, mchuzi wenye pilipili, kachumbari na kuku aliyekaangwa. Nilidhani ni wa kidhungu huyo kuku baada ya kumwonja maana alikua mlaini mno, wakaniambia hapa tunatengeneza wa kienyeji tu.
     Karibu Villa park ya Rock city.........

No comments:

Post a Comment