Saturday, April 27

Menu za Mwanza

    Tupo marafiq wengi tuliokutana muda wa chakula cha mchana pande za Villa park ya Rock city. Ukituuliza kwanini twala hapa mara nyingi, sababu zipo nyingi ikiwemo ukarimu, usikivu, huduma bora, chakula kitamu na mengine mengi. Tunakujuza zaidi kwa kutumia picha kwani utaona vyema.
   Kuna ng'ombe aliyechomwa kwenye foil, na aliyechomwa kawaida, kuna kachumbari, ugali, chipsi pamoja na samaki wa kuchoma.
   Karibu Mwanza Mwanza!!

No comments:

Post a Comment