Friday, July 20

Korosho Toka Kwa Dada Christina.

MT inao marafiki wengi kutoka pande mbalimbali Duniani, Christina a.k.a Mama Steve ni mmoja wa Marafiki wa MT, Basi katika Safari zake za Kikazi alitembelea Mkoa wa Mtwara.. wenyewe wanaita Ntwara. Mara akakutana na Korosho, Kutokana na mapenzi yake kwa MT kitu cha kwanza kufikiria ilikuwa ni kutununulia Korosho kutoka.. Ntwara zikapandishwa ndege.. zikafika JK Nyerere Int. Airport njia nzima na foleni za Dar, Mpaka zikafika Mikononi mwa MT. Tunajivunia kuwa na Rafiki kama Christina.

 Karibu Korosho za Ntwaraaaaa....

No comments:

Post a Comment