Friday, June 8

Ugali nyama na mbogamboga.

Wale wanaojiita mabachela wajua ni wagumu sana kupika, lakini ishukuliwe MT baada ya kumshawishi Kaka Steve, ambaye ni Bachela timu ya MT ilimtembelea na kumuomba atuandalie msosi wa usiku...Basi bachela Steve akaamua kutupikia Ugali na Nyama ikisindikizwa na mbogamboga pamoja na Tunda (ndizi)






 Saa zingine unaziacha picha ziongee.. karibu Menu Time.. ukipika tupigie simu tuje kupata picha yako pia... 0715443434

3 comments: