Sunday, June 10

Mchemsho wa Ng'ombe.


Katika pitapita za watu wanaojua kutime menu wakapita sehemu yaitwa Calabash Pub, Iko mitaa ya Mwenge Mpakani, Tukapata kuonja mchemsho wa ndizi pale, ah kiukweli ni mtamu, MT itaendelea kukuletea Menu za kila pahala, usikose kutumbelea badae kidogo.

No comments:

Post a Comment