Monday, June 20

Menyu toka kwa Rafiq

Toka kwa Rafiq, ametuletea picha  ya Supu aliyokua anakunywa. 
Hakueleza muda gani alikua anainywa kama ni ya kukatia mning'inio a.k.a Hangover au kutuliza njaa.


Mark Andere asante sana bro!! Nimependa chupa hiyo pembeni!!!

Kama una picha ya menyu uliyokula au umepika tafadhali tutumie kupitia menutimes@gmail.com.

No comments:

Post a Comment