Wednesday, June 29

Kifungua kinywa a.k.a Breakfast

Nilipata bahati ya kutembelea pande kadhaa za Dar Es Salaam, na kushuhudia Rafiqs wakipata kifungua kinywa sehemu tofauti tofauti. Kutoka Mlimani City hadi Tabata. Nilikatiza Mbagala na kwingineko. Ntarejea kukujuza zaidi !!!!

No comments:

Post a Comment