Thursday, May 5

Mkoa wa Kilimanjaro

Mkoa wa Kilimanjaro umeundwa na wilaya 6 ambazo ni Rombo, Hai, Siha, Same, Mwanga na Moshi vijijini. Zifuatazo ni baadhi ya picha ambazo zinaonesha uzuri wa Mkoa huu wa Kilimanjaro. Karibu
  
Nikiwa barabara ya Macheme nlifanikiwa kuupiga picha mlima   
     

 Wakati naelekea Rombo nilikuta ujenzi wa barabara unaendelea.

Moshi pazuri jamani, rangi ya kijani imetawala.

No comments:

Post a Comment