Thursday, May 5

Menu ya Rombo kwa bibi

   Jana nilienda Rombo, nikapita kwa bibi. Ukaribisho wa kwanza ulikua ni mbege then hadithi za zamani kidogo. Halafu ikaja menyu, si unajua ndizi ndio menyu yetu ya maana.
 
 
Parachichi haliwezi sahaulika wakati wa ulaji wa ndizi, na hiyo ndio menyu yangu ya jana mchana, Shukrani kwa bibi.

No comments:

Post a Comment