Tuesday, May 10

Menyu ya Usiku

   Usiku wa leo, niliingia jikoni mwenyewe na kuandaa menyu ya leo. Nilipika viazi watoto a.k.a baby potatoes, wali wa nazi, vegetable rosti, kuku wa kukaanga na mchemsho wa mboga za majani.
 
 
   Namna ya upikaji wake nifuate kwenye mapishi nikuhadidhie. binafsi nlishushia na juisi ya maembe.... Karibu!!

No comments:

Post a Comment