Thursday, May 16

Mlo Kamili

   Kutoka kwa Rafiq aliyeweza pata mlo kamili siku ya leo, anashare nasi menu aliyoipata pande za kitaani alipokua anapata lunch yake. Waweza pata na kuiinjoy menu hiyo popote upendapo iwe ni kwa muda wa mchana au usiku.

 
    Yaonekana tamu!!!

No comments:

Post a Comment