Friday, April 26

Mwanza Mwanza!!!

   Leo tuko pande za Rock city, tumeingia asubuhi hii! na moja ya menu tuliyokutana nayo pande za Villa park ni hii hapo chini. Samaki wa kuchoma na chipsi, vikorombwezo vya pilipili. Tamuje sasa?
Tutaendeea kukujuza menu tutakazokutana nazo.

No comments:

Post a Comment