Monday, April 29

Menu ya mwisho Mwanza!!

   Tumefurahi sana kuwepo Mwanza, tumefurahia haswa menu zao pamoja na hali ya hewa.
   Kabla ya kuanza safari, tukaona ni vyema tupashe tumbo joto na supu ya samaki ikisindikizwa na chapati. Karibuni!!

No comments:

Post a Comment