Tuesday, April 30

Kutoka Bukoba aliko Ankoooo

   Kutoka mkoa wa Kagera, Bukoba alipo Amani wa Lyimo a.k.a Ankoooo, ameshare nasi menyu aliyoipata mchana wa leo.
   Kuna maini a kukaanga, kachumbari na vikorombwezo.
Asante Ankoo!!

No comments:

Post a Comment