Monday, June 18

Wali Dagaa.

Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam huwa wanakula vyakula vya aina mbalimbali, basi MT ikawapata wapishi wa wali dagaa, wakatupatia mlo wa mchana.
 Hapo pana dagaa, mchicha kidogo na maharage... ebu jaribu kula hii leo.

No comments:

Post a Comment